Kwani Jux hapa ni kitu gani kilimferisha

Kwani Jux hapa ni kitu gani kilimferisha Full story

Kwani Jux hapa ni kitu gani kilimferisha, Baada ya Juma Mussa ‘Jux’ kuachana na Vanessa Mdee aliingia kwenye mahusiano na Nayika Thongom, raia wa Thailand, ambapo mahusiano hayo hayakumaliza hata miezi sita waliachana. Inaaminika ndo mwanamke mrembo zaidi ambaye jux alishawai kudate nao. Je mwanetu jux alifeli nini kushindwa kupata hata mbegu ya mtoto kwa mrembo huyu? stories what happened

Continue reading

Contact Us

JobMonster Inc.
54/29 West 21st Street, New York, 10010, USA
contact@jobmonster.com
http://jobmonster.com